Thursday, September 16, 2010

HAHAHAAAAA...MISS POLITICIAN...WHO IS NEXT???

NAKAAYA with KING MUSWATI(AY)

Anselm Soggy Ngaiza ‎-BREAKING NEWZ...NAKAAYA SUMARI AJITOA CHADEMA NA KUHAMIA CCM..

5 hours ago via Mobile Web ·  · 
    • Hala Habib chama dume
      5 hours ago ·  ·  1 person
    • Mwanakombosalim Salim ‎..wacha wee..aisee..
      5 hours ago · 
    • Joyce Jonathan Eeeh!
      5 hours ago · 
    • Esther Mbussi mabig...
      5 hours ago · 
    • Finah Taylor heeeeeee...ya kweli hayoo?????
      5 hours ago · 
    • Mwakalinga Bujo kisa nini tena mbona anatangatanga huyu
      5 hours ago · 
    • Abdul Ahmed tatizo ukiwa unaimba n tofouti na kutaka hali halisi lijitokeze.mziki wa kweli ni rege tu...ni anguko si lake tu bali na kile alichokuwa anahisi anapigania...shame to her miss politician...
      5 hours ago ·  ·  2 people
    • Eric Masseri Umeona heee, bado kidogo utasiki mr2 naye huyoo. CCM OYEEEEEE, KIKWEE OYEEEE
      5 hours ago · 
    • Collezione Kelvin anafata buku 2 wanazopewa wenzake, hajui kinachoendelea katika ukweli wa mambo
      5 hours ago · 
    • Albert K Who z Nakaya 4umari political wise?
      5 hours ago · 
    • Albert Ntwa she's a snitch ass..!
      5 hours ago · 
    • Lameck Mussa Njaa kweli mbaya!!! Alifata nini Chadema ???!!! Watu kama hawa kuimba wameshindwa wanataka kutokea kwenye Siasa!!! Hamna loloyte zaidi ya nitoke vipi!!
      5 hours ago · 
    • Abdulswamad M Ally Karibu nakaaya nadhani umeona jinsi chadema sera zao zisivyotekelezeka.ccm oyee!
      4 hours ago · 
    • Kikuzi Amin alizania watu wanabana pua ndani CHADEMA, a snitch ass..!
      4 hours ago ·  ·  1 person
    • Aisha Omary CCM BONGO....
      WIZI MTUPU....
      4 hours ago · 
    • Veila Mlawa She z arrogant! Z nt a politician kafata pesa tu sio maslahi ya wa TZ.
      4 hours ago · 
    • R Jay Sawere bora katoka,,alikuwa anaweke GUNDU
      4 hours ago · 
    • Ndimbwelu Agnes Mwaikambo CCM oyeeee..!
      4 hours ago · 
    • David Mosha nimeamini sasa hakuna kitu
      4 hours ago · 
    • Jerry Kagose Kila mtu ana uhuru wa kuchangua chama anachokitaka. Ila tusiweke njaa
      4 hours ago · 
    • Tira Hassan Tira duh...au ameogopeshwa na mapokezi aliyoyapata Kikwete.,leo Arusha...?
      4 hours ago · 
    • Juma Mwajasho ana matatizo amesha nunuliwa jamani haya mabo ya siasa si yeye aliye imba mr politsn lakini bado chadema itawatesa tu kwakua nichama cha vijana wa naotaka mabadiliko chumechoka miaka 49 ccm ipo madarakani hali za maisha ningumuu wainaba tu shez zao hawa
      4 hours ago · 
    • Prisca John Runahi Hee!alivyoenda chadema w2 mkafurah bt c ulikuwa n uamuz wake,sasa nw arud ccm muanze kumsimanga,achen unafiki @m2 ana hak ya kuwa kwny chama anachotaka bwana.mwachen bint wa w2.
      4 hours ago · 
    • Albert K Jamani kumbe ndo yule aliyeimba Mr.politician?sasa mbana haviendani?hii inamuonesha wazi ...staki mniqoute!
      4 hours ago · 
    • Kelvin Mtenga huyu mwanamke ni fala wa kutupwa au kapigwa ndumba soggy tuambie sheikh yahya kamfanyizia nini?anafata bingo na nimemwambia kule kwenye page yake anafata mkwanja na wala sio kukutetea wewe soggy na watz wote nimesema kura ni damu nzito
      4 hours ago · 
    • Veila Mlawa Hala lolote huyo!
      4 hours ago · 
    • Dillam Kaya Anajipendekeza tu kwa Chama Cha Plopaganda Au Ajiamini?
      4 hours ago · 
    • Laurean Kiiza Nikama mtu yeyote akisema tangu leo mimi siyo shabiki wake!!hawezi kubabaika vivyo hivyo yeye kutoka CHADEMA hakuna pengo nikama nyoya moja la paka kung'oka paka hawezi kuthurika kwa baridi.
      3 hours ago · 
    • Hala Habib hawa jamaa hawakose maneno hawachelewi kusema nakaaya FISADI
      3 hours ago · 
    • Naomi Catherine Dah,yaani kuna watu wanatoa maneno makali ya kumkashfu uyu dada,cha ajabu ukimwangalia na sura yake ni tofauti kabisa na maneno aliyoandika.lakini cha msingi ni Uhuru wa mtu,tusiharibu uhuru huu
      3 hours ago · 
    • Kelvin Mtenga naomi sura haimaanishi ndio usiongee kama umekereka hujawahi sikia neno linaitwa smiling killer?
      3 hours ago · 
    • Naomi Catherine Ok.gud 4 u kelvin.gudnite
      3 hours ago · 
    • Laurean Kiiza Sura siyo roho!
      3 hours ago · 
    • Peter Christina Karibu nyumbani NAKAAYA....(ccm juuuu.......).
      2 hours ago · 
    • Anselm Soggy Ngaiza Jamani muacheni Nakaaya,kila mtu ana haki ya kupenda anachokitaka.Karibu nyumbani Nakaaya...KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
      about an hour ago · 
    • Abdul Ahmed ‎@soggy we na walewale du.. Noma mwindaji gani mwoga hivyo....
      about an hour ago · 
    • RadhiaVuvu Hamisi Kalombola HUYO KAONA WENZAKE WANAKULA SHAVU ANAONA INAKULA KWAKE.I DESPISE PIPO WACOKUWA NA MCMAMON,FUUUuCkkk AMEBOA MBAYAaaa
      about an hour ago ·  ·  1 person
    • Robert Sambeke III Kama Kaenda CCM hautendei haki wimbo wake wa Mr.Politician,hana mpya kachanganyikiwa kuachwa na m1 huyo..pppffffuuuuu......
      6 minutes ago · 
    • Dee Seven hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...halellujah........PPPUUUFFF
      A few seconds ago ·  · 

0 comments:

Post a Comment

DEE BᵘᵐZ®

Template by:
Free Blog Templates