Monday, January 25, 2010

J.POP talks about his life in BONGO FLAVA...




J.POP a.k.a PROSPER.kwa jina la Pasport anaitwa James Prosper kisanaa zaidi wanamuita. J.POP yes! aka PROSPER...Mzaliwa wa Iringa pale Town.

Miaka iliyopita, elimu yake ya mwanzo aliipata shule ya msingi Ipogolo. Shule ya Secondari ya Lugalo pale pale town, na baada ya hapo tena akamaliza kidato cha tano na sita pale pale Highland Sec School Iringa town, Nasasa anamalizia elimu yake ya juu hapo Dar city, katika chuo cha biashara CBE.

Wakati huo wote anapiga book na huku anatambaa na Music ndiyo maana watu wake wanaweza kuniona kama ana beep ktk game Nooooo!.siyo kihivyo wana,ni mipango tu mizuri na hili gemu la bongo na anamshukuru Mungu amelisoma toka alipoanza mwaka 1996 akiwa na kundi lake lililotambulika kwa jina la TOIG’Z ( THE OJAA INTERNATIONAL GANGSTAR’S) Kundi hilo liliwakillishwa na wasanii wane OBK’Z , ADDO BOY ambaye kwa sas anaimba GOSPEL, A-SMOOKER , na yeye mwenyewe J.POP , walifanikiwa kufanya track kadhaa pale Iringa town katika studio za DON BOSCO, na mafanikio ya kundi yalikuja pale walipotoa track yao kupiti studi za FM STUDIO producer akiwa ni MIIKA MWAMBA KALI, mwaka 1999,track ilikuwa inaitwa ‘’SIRI YA HATARI’na zilifuatia track nyingine kama mbili, hazikupata mafanikio kivile kwani hawakutambulika kitaifa zaidi,walitambulika pale mkoani pekee.

Na mambo mengine mengine yaliwakuta kama kundi walipokuwa DAR wakijaribu kufanya harakati.Ndipo baadaye kundi likasambalatika baada ya kila mmojawao kijitosa shuleni,wana wakapiga kimyaaaaa!...ndipo akaondoa ukimya , sana tu watu wa Iringa wanamsoma na anawakumbusha mbali kipindi ambacho makundi makubwa pale town kama EMERGENCE POISON, CRAZY DOGG, DOWN LOW, DANGEROUS CREW, kundi ambalo MIKE TEE alikuwapo, SQUIZER, GEEZ MABOVU zamani kama MED, B-BOY, DATAZ, ZAY ‘B’, na S.O.G kundi ambalo AY’, SNARE zamani aliitwa ADAM, pamoja na BUFF G’ zamani aliitwa GEMBE walikuwa wanaunda kundi hilo wakiwa wanasoma huko, Na makundi mengine kibao lakini hayo ndiyo anayoyakumbuka.

kulikua na ushindani wa kufa mtu enzi hizo. Na baada ya hapo ndipo akaanza kutoka mmoja baada ya mwingine, mpaka hivi sasa. Ndipo akajitokeza J.POP mwaka 2002 ngoma yake ya kwanza kwa marehemu ROY mungu aiweke roho yake mahali pema peponi Amen, haikufanya vizuri ikabuma akatoka na ngoma yake ya pili mwaka 2005 Ikaanza kusikika mwaka 2006, Track ’TUNAKUPENDA’’(unaweza kuisikiliza ktk playlist hapo) iliyotengenezwa pale JAG RECORDS producer JONAS, na baada ya hapo mwaka 2007 mwishoni akatua kwa AMBANGIRE pale home kwao IRINGA na kushuka na ngoma yake heeeeavy ‘’NITAWEZA’’ upande wa chorus ameketi RAMA DEE ambayo mpaka sasa ndiyo iliyopo na video yake pia imetenenezwa na KALAGE ,ana sema Sorry kwa washabiki wake wamekuwa wanakerekwa na kukaa muda mrefu kwa track baada ya track.Wasikonde mambo ya Shule kidogo wana , lakini HIP HOP ndivyo inavyotakiwa kwenda watu wapate muda wa kuisoma track moja na nyingine tuzipe muda nyimbo zetu. AU!!!!!


Ok Basi hivyo hivyo! Malengo yake nikutoa track za ukweli moja baada ya moja ambazo kila moja itakuwa na uwezo wa kujibeba kama ilivyo, kujirekebisha kwa kila ngoma inayokuja kutokana na mawazo na michango ya mashabiki wake, Kaeni tayari kuna ngoma itakuja hivi karibuni .


Wapo wale waliochangia uwepo wake na angependa kuwashukuru... kwanza Mungu wake, Wazazi wake RIP mama yake" MOM, I know ananisikia huko na wote wanaoniona na kunisikia Pamooja sana".ALL ABOVE IS HIS SHORT STORY***** IRINGA STAND UP’’ ukanda wa juu ISHI HIP HOP.......

Friday, January 22, 2010

FID Q takes P.R.O.P.A.G.A.N.D.A to the Streets

Stay tuned to get New Album From FID Q.... More info Click Babkubwa.ning.com

Friday, January 15, 2010

Chegge takes Karibu Kiumeni to the Streets



Chegge Chigunda from the TMK Wanaume Family has released his third solo album titled, "Karibu Kiumeni".

The rapper from Temeke told babkubwa.com and Ujazo Blog that the album consists of 12 tracks and he linked up with Mangwair, Lady Jay Dee, Q Chief, Wahu, Wyre and Pipi for collabos on some of the singles.

Also he hopes to stage album listening events throughout East Africa next year.

Rama Dee takes Kutoka Moyoni to the Streets also LISTEN His XCLUSIVELY track



Rama Dee has released his 1st solo album titled, "Kutoka Moyoni".

Rama Dee told babkubwa.com and ujazo blog that the album consists of 12 tracks and he linked up with Joh Makini, Ezo B and some of bongo flava artist on some of the singles.

Listen RIDHIKA NAMI NEW TRACK BY RAMA DEE FROM HIS NEW ALBUM "KUTOKA MOYONI", THIS TRACK IS XCLUSIVELY TODAY ON BABKUBWA NA UJAZO BLOG LINKS


CLICK HERE TO LISTEN

DOWNLOAD FREE MIXTAPE - GOSBY - Tumia PEsa Ikuzoee


Here is Gosby new Video called Promo. Enjoy and U can download his free mixtape goes by name Tumia Pesa Ikuzoee there is 21 tracks on Zip file. Enjoy


Some of Track listing
Lollipop
One Blood
I wont Tell Ya
Nishapaa

Albino Fulani releases NEW single!


Babu Sikare aka Albino Fulani has released a HIT new single “Nafasi” featuring Sugu, Belle 9 and Mwana FA. The song which was officially released at Friday Night show on EATV talks about the things they will do if they were given a chance.

You can listen to the song on our playlist.

The US based artist recently organized an outstanding benefit concert (Save Albino Concert) to raise funds to help kids with albinism by providing sun blocks to prevent skin cancer.

Fulani is one of the actors in the latest Jake Production movie, Baby Powder. Mid this year, the artist released his first single "Barua kwa Mama" (A Letter to Mama) and launched his website www.afrobino.org

Solo Thang - Mtoto Wa Down Town



Solo Thang released his 2nd single on his birthday (December 8). The tune is from his upcoming 4th Album, "I am Travellah" to be released early next year 2010!

We like the intro where he goes they (playa haters) thought that the Kilio Changu Album was a fluke and they should eat their words because his making a comeback.

Early this year, the rapper released the first single "Travellah". Listen tha song on our playlist.


Karibuni Katika UJAZO Blog

Template by:
Free Blog Templates