Sunday, October 16, 2011

CMB PREZZO ADONDOSHA-4 SHO....4 SHIZZLE

Anaitwa Jackson Makini aka CMB PREZZO kutoka nchini Kenya kwa mara nyingine tena amedondosha dude jipya 4 SHO 4 SHIZZY akimshirikisha ULOPA ambaye ndiye producer wa dude hii kupitia studio ya SAMAWATI nchini Kenya…Video ya kazi hii ameshoot na kampuni ya BOOMBA Video inatarajiwa kutoka baada ya wiki mbili katika vituo vyote vya Tv all over  Africa

0 comments:

Post a Comment

DEE BᵘᵐZ®

Template by:
Free Blog Templates